forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
488 B
Markdown
21 lines
488 B
Markdown
# Kila wakati wao na mifugo yao na mahema walipokuja
|
|
|
|
Nchi ya Midiani ilikuwa kusini mwa nchi ya Israeli pembeni mwa bahari ya Shamu.
|
|
|
|
# walikuja kama kundi la nzige
|
|
|
|
Wamidiani wanafananishwa na kundi la nzige kwa sababu walikuja na kundi kubwa la watu na wanayama wao walikula kilakitu kilichopandwa.
|
|
|
|
# Haikuwezekana kuhesabu
|
|
|
|
Hii inaonesha kuwa namba ilikuwa kubwa sana.
|
|
|
|
# Midiani iliwadhoofisha
|
|
|
|
"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani.
|
|
|
|
# Wakamwita Bwana
|
|
|
|
"wakamwomba Bwana msaada"
|
|
|