forked from WA-Catalog/sw_tn
488 B
488 B
Kila wakati wao na mifugo yao na mahema walipokuja
Nchi ya Midiani ilikuwa kusini mwa nchi ya Israeli pembeni mwa bahari ya Shamu.
walikuja kama kundi la nzige
Wamidiani wanafananishwa na kundi la nzige kwa sababu walikuja na kundi kubwa la watu na wanayama wao walikula kilakitu kilichopandwa.
Haikuwezekana kuhesabu
Hii inaonesha kuwa namba ilikuwa kubwa sana.
Midiani iliwadhoofisha
"Midiani" inawakilisha watu wa Midiani.
Wakamwita Bwana
"wakamwomba Bwana msaada"