sw_tn_fork/jos/24/03.md

13 lines
244 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake.
# Seiri
Jina la sehemu au mahali
# Walishuka kwenda
Misri ilikuwa ni sehemu ya chini katika mwinuko wa nchi ya Kanaani