sw_tn_fork/jos/24/03.md

244 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake.

Seiri

Jina la sehemu au mahali

Walishuka kwenda

Misri ilikuwa ni sehemu ya chini katika mwinuko wa nchi ya Kanaani