forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
650 B
Markdown
29 lines
650 B
Markdown
# Kamanda wa mlinzi
|
|
|
|
maneno yametokea sawa sawa katika 25:8.
|
|
|
|
# Seraya
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu.
|
|
|
|
# kuhani wa pili
|
|
|
|
Hili neno linamrejea Zefania. Maana nyingine iwezekanayo ni "kuhani chini ya Seraya."
|
|
|
|
# walinzi wa lango
|
|
|
|
Tafsiri kama katika 7:9.
|
|
|
|
# chukua mfungwa
|
|
|
|
"chukua na kutunza bila kukimbia"
|
|
|
|
# afisa aliyekuwa msimamizi wa maaskari
|
|
|
|
Tafsiri nyingine inaweza kusomwa "towashi aliyekuwa msimamizi wa maaskari." Towashi ni mtu ambaye ametolewa sehemu zake za siri.
|
|
|
|
# wajibu wa afisa kwa kugawa kundi la watu kwenye jeshi
|
|
|
|
Maana ziwezekanazo 1) afisa kulazimisha watu kuwa maaskari au 2) afisa kuandika chini majina ya watu watakaokuwa maaskari.
|
|
|