forked from WA-Catalog/sw_tn
464 B
464 B
Kauli Unganishi:
Malaika saba na mapigo saba wanatoka katika mahali patukufu zaidi. Zilizungumziwa katika 15:1.
Baada ya mambo hayo
"Baada ya watu kumaliza kuimba"
malaika saba wenye mapigo saba
Malaika hawa walionwa wakishilia mapigo saba kwa sababu walipewa mabakuli yaliojaa ghadhabu ya Mungu katika 15:7.
kitani
nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani.
mishipi
Mshipi ni kipande cha nguo cha urembo kinachovaliwa sehemu ya juu ya mwili.