sw_tn_fork/rev/15/05.md

21 lines
464 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kauli Unganishi:
Malaika saba na mapigo saba wanatoka katika mahali patukufu zaidi. Zilizungumziwa katika 15:1.
# Baada ya mambo hayo
"Baada ya watu kumaliza kuimba"
# malaika saba wenye mapigo saba
Malaika hawa walionwa wakishilia mapigo saba kwa sababu walipewa mabakuli yaliojaa ghadhabu ya Mungu katika 15:7.
# kitani
nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani.
# mishipi
Mshipi ni kipande cha nguo cha urembo kinachovaliwa sehemu ya juu ya mwili.