forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
464 B
Markdown
21 lines
464 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Malaika saba na mapigo saba wanatoka katika mahali patukufu zaidi. Zilizungumziwa katika 15:1.
|
||
|
|
||
|
# Baada ya mambo hayo
|
||
|
|
||
|
"Baada ya watu kumaliza kuimba"
|
||
|
|
||
|
# malaika saba wenye mapigo saba
|
||
|
|
||
|
Malaika hawa walionwa wakishilia mapigo saba kwa sababu walipewa mabakuli yaliojaa ghadhabu ya Mungu katika 15:7.
|
||
|
|
||
|
# kitani
|
||
|
|
||
|
nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani.
|
||
|
|
||
|
# mishipi
|
||
|
|
||
|
Mshipi ni kipande cha nguo cha urembo kinachovaliwa sehemu ya juu ya mwili.
|
||
|
|