sw_tn_fork/psa/071/012.md

690 B

usiwe mbali nami

"kaa karibu nami"

harakisha kunisaidia

"nisaidie mapema"

Acha waaibike na kuangamia, wale walio na uhasama na maisha yangu

"Acha wale walio na uhasama na maisha yangu waaibike na kuangamizwa"

Acha waaibike na kuangamia

"Waaibishe na kuwaangamiza"

wale walio na uhasama na maisha yangu

"wale wanaonishtaki kwa kufanya kosa"

acha wafunikwe na lawama na fedheha, wale wanaotafuta kuniumiza

"acha wale wanaotafuta kuniumiza wafunikwe na lawama na fedheha"

acha wafunikwe kwa lawama na fedheha

"wafunike kwa lawama na fedheha." "na kila mtu awalaumu, na mtu yeyote asiwape heshima"

wale wanaotafuta kuniumiza

"wale wanaotafuta njia za kunidhuru"