forked from WA-Catalog/sw_tn
552 B
552 B
mbingu zako, ambazo vidole vyako
Vidole vya Mungu vinaashiria ni yeye. "mbingu ulizoumba"
binadamu ana umuhimu gani hadi umtambue, au mtu hadi umwangalie?
Misemo hii inaelezwa kwa njia ya swali kuongeza msisitizo. "Ni ajabu kuwa unawawaza watu na kuwajali!"
binadamu ... mtu
Misemo hii yote inamaanisha watu kwa ujumla.
umewavika taji la utukufu na heshima
Utukufu na heshima zinazungumziwa kana kwamba ni mataji. Maneno "utukufu" na "heshima" yanakaribiana kwa maana. "umewapa utukufu na heshima" au "umewasababisha kuwa kama wafalme"