sw_1pe_text_ulb/03/13.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 13 Ni nani atakayewadhuru ninyi, ikiwa mwatamani lililo zuri? \v 14 Lakini kama mkiteseka kwa haki, mmebarikiwa. Msiogope yale ambayo wao wanayaogopa. Msiwe na wasiwasi.