sw_1pe_text_ulb/03/13.txt

1 line
172 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 13 Ni nani atakayewadhuru ninyi, ikiwa mwatamani lililo zuri? \v 14 Lakini kama mkiteseka kwa haki, mmebarikiwa. Msiogope yale ambayo wao wanayaogopa. Msiwe na wasiwasi.