sw_pro_text_reg/13/17.txt

1 line
213 B
Plaintext

\v 17 Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho. \v 18 Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.