sw_pro_text_reg/13/17.txt

1 line
213 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 17 Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho. \v 18 Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.