forked from WA-Catalog/sw_tn
504 B
504 B
Malaika wa Bwana
Bwana akamtokea Gidioni kwa mfano wa Malaika.
Ewe Bwana MUNGU!
"ewe" hii inaonesha kuwa Gidioni alikuwa na hofu.
nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso
Hii inaelezea namna ambavyo watuu wawili wapo karibu. "nimemwona kabisa malaika wa Bwana"
Bwana akamwambia
Bwana alizungumza na Gidioni toka mbinguni.
Hadi leo
Hii inamaanisha wakati ambao kitabu kitabu cha Waamuzi kimeandikwa.
Ofra
Hili ni jina la mji.
jamaa ya Abiezeri
Hili ni kundi la watu wa Abiezeri.