forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
504 B
Markdown
29 lines
504 B
Markdown
|
# Malaika wa Bwana
|
||
|
|
||
|
Bwana akamtokea Gidioni kwa mfano wa Malaika.
|
||
|
|
||
|
# Ewe Bwana MUNGU!
|
||
|
|
||
|
"ewe" hii inaonesha kuwa Gidioni alikuwa na hofu.
|
||
|
|
||
|
# nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea namna ambavyo watuu wawili wapo karibu. "nimemwona kabisa malaika wa Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Bwana akamwambia
|
||
|
|
||
|
Bwana alizungumza na Gidioni toka mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# Hadi leo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wakati ambao kitabu kitabu cha Waamuzi kimeandikwa.
|
||
|
|
||
|
# Ofra
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# jamaa ya Abiezeri
|
||
|
|
||
|
Hili ni kundi la watu wa Abiezeri.
|
||
|
|