forked from WA-Catalog/sw_tn
536 B
536 B
Taarifa ya jumla:
Nabii Hosea anazungumza.
Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima
"kupandwa" ni kuwa sehemu salama. "Taifa la Israeli lilikuwa zuri kama mji wa Tiro, kama mti uliopandwa na mtu kwenye mlima"
akini Efraimu atatoa watoto wake
"watoto" ni watu toka kwenye taifa hilo.
Wape, Bwana-utawapa nini? Wape
Hosea ametumia swali kusisitiza kuwa anataka Bwana awape wana wa Israeli kile wanachostahili.
tumbo lenye kuharibu mimba
"kuharibu" inamaanisha ujauzito unakoma mapema na mtoto anakufa.