forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
536 B
Markdown
21 lines
536 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Nabii Hosea anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima
|
||
|
|
||
|
"kupandwa" ni kuwa sehemu salama. "Taifa la Israeli lilikuwa zuri kama mji wa Tiro, kama mti uliopandwa na mtu kwenye mlima"
|
||
|
|
||
|
# akini Efraimu atatoa watoto wake
|
||
|
|
||
|
"watoto" ni watu toka kwenye taifa hilo.
|
||
|
|
||
|
# Wape, Bwana-utawapa nini? Wape
|
||
|
|
||
|
Hosea ametumia swali kusisitiza kuwa anataka Bwana awape wana wa Israeli kile wanachostahili.
|
||
|
|
||
|
# tumbo lenye kuharibu mimba
|
||
|
|
||
|
"kuharibu" inamaanisha ujauzito unakoma mapema na mtoto anakufa.
|
||
|
|