forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
880 B
Markdown
29 lines
880 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno ya "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# unaweza kula mizabibu idadi yoyote unayotaka
|
|
|
|
"kisha unaweza kufurahia kula mizabibu mpaka utosheke"
|
|
|
|
# lakini usiweke yoyote katika kikapu chako
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "lakini haupaswi kuweka mizabibu yoyote katika kikapu chako kubeba pamoja nayo"
|
|
|
|
# Utakapokwenda katika shamba la zao lililoiva la jirani yako
|
|
|
|
"Utakapokwenda katika shamba la jirani yako ambapo kuna zao linaota"
|
|
|
|
# unaweza kuvuna kichwa cha mavuno kwa mkono wako
|
|
|
|
"kisha unaweza kula viini vya mbegu kwa mikono yako"
|
|
|
|
# lakini haupaswi kutumia mundu kuvuna zao lililoiva la jirani yako
|
|
|
|
"lakini usikate chini mazao yalioiva ya jirani yako na kuchukua"
|
|
|
|
# mundu
|
|
|
|
kifaa chenye ncha kali ambacho wakulima hutumia kuvuna ngano
|
|
|