forked from WA-Catalog/sw_tn
416 B
416 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Nilikuamuru kwa wakati huo
Musa anawakumbusha kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manasseh kwamba wanapaswa kuwasaidia waisraeli wengine kushinda nchi ambayo Mungu aliwaahidi.
tutapita tukiwa na silaha mbele
"tutachukua silaha zao na kuvuka mto Yordani mbele yao"
ndugu zenu, watu wa Israeli
"ndugu zenu wanaisraeli"