forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
416 B
Markdown
17 lines
416 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Nilikuamuru kwa wakati huo
|
||
|
|
||
|
Musa anawakumbusha kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manasseh kwamba wanapaswa kuwasaidia waisraeli wengine kushinda nchi ambayo Mungu aliwaahidi.
|
||
|
|
||
|
# tutapita tukiwa na silaha mbele
|
||
|
|
||
|
"tutachukua silaha zao na kuvuka mto Yordani mbele yao"
|
||
|
|
||
|
# ndugu zenu, watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"ndugu zenu wanaisraeli"
|
||
|
|