forked from WA-Catalog/sw_tn
768 B
768 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
nje ya mkono wa wafalme wawili
Hapa maneno "nje ya mkono wa" unamaanisha 'kutoka utawala wa." "kutoka utawala wa wafalme wawili" au "toka kwa wafalme wawili"
Amorites...Bashani...Edrei...Ogi
"Watu wa Amorite...nchi ya Bashani...mji wa Edrei...mfalme wa Ogi:
ng'ambo ya pili ya Yordani
Hii urejea kwa nchi kuvuka mto Yordani kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi: "mashariki mwa mto Yordani"
Mlima wa Hermoni...Sirioni...Seniri
Haya ni majina ya mlima ule ule ambao uko kaskazini mwa mpaka wa Bashani.
ya tambarare
Hii ni juu, nchi tambarare kati ya mto Arnon na Mlima Gileadi.
Salekah
Hili ni jina la mji uliokaribu na Edrei.