forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
768 B
Markdown
29 lines
768 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nje ya mkono wa wafalme wawili
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "nje ya mkono wa" unamaanisha 'kutoka utawala wa." "kutoka utawala wa wafalme wawili" au "toka kwa wafalme wawili"
|
||
|
|
||
|
# Amorites...Bashani...Edrei...Ogi
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Amorite...nchi ya Bashani...mji wa Edrei...mfalme wa Ogi:
|
||
|
|
||
|
# ng'ambo ya pili ya Yordani
|
||
|
|
||
|
Hii urejea kwa nchi kuvuka mto Yordani kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi: "mashariki mwa mto Yordani"
|
||
|
|
||
|
# Mlima wa Hermoni...Sirioni...Seniri
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mlima ule ule ambao uko kaskazini mwa mpaka wa Bashani.
|
||
|
|
||
|
# ya tambarare
|
||
|
|
||
|
Hii ni juu, nchi tambarare kati ya mto Arnon na Mlima Gileadi.
|
||
|
|
||
|
# Salekah
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji uliokaribu na Edrei.
|
||
|
|