forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
975 B
Markdown
37 lines
975 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuelekeza Israel kwa namna watakavyowatendea wazao wa Esau
|
|
|
|
# Utanunua chakula toka kwao
|
|
|
|
Yahwe anawapa ruhusa au maelekezo, siyo amri, na anawambia wasiibe. "Ninakuamuru kununua chakula kutoka kwao" au "kama unahitaji chakula, utanunua kutoka kwao"
|
|
|
|
# kutoka kwao
|
|
|
|
"kutoka uzao wa Esau"
|
|
|
|
# kwa pesa
|
|
|
|
Kama haya maneno hayaitajiki au kufanya tofasiri kutokuwa sahihi, unaweza kuyatoa.
|
|
|
|
# Mungu wenu amewabariki ninyi...mikono yenu...kutembea kwenu...Mungu wenu...pamoja nanyi, na hamjapungukiwa.
|
|
|
|
Musa azungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano "wewe" na "vyao" ni umoja
|
|
|
|
# nyie katika kazi zenu za mkono
|
|
|
|
Hii "kazi za mkono yenu" urejea kwa kazi yote waliofanya.
|
|
|
|
# amejua kutembea kwenu
|
|
|
|
Hili ni neno lenye maana sawa kwa "anajua kile kilichotokea kwenu wakati mlipokuwa mnatembea."
|
|
|
|
# miaka arobaini
|
|
|
|
40 miaka
|
|
|
|
# hamjapungukiwa kitu chochote
|
|
|
|
Hii inatumika kama takwimu ya hotuba "umekuwa na kila kitu ulichohitaji."
|
|
|