forked from WA-Catalog/sw_tn
364 B
364 B
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yameandikwa kwenye kitabu kingine. Ona jinsi hili neno lilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli."
akalala na mababu zake
Hii ni njia ya heshima ya kusema kwamba amekufa.