forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
364 B
Markdown
9 lines
364 B
Markdown
|
# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
|
||
|
|
||
|
Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yameandikwa kwenye kitabu kingine. Ona jinsi hili neno lilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli."
|
||
|
|
||
|
# akalala na mababu zake
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya heshima ya kusema kwamba amekufa.
|
||
|
|