forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1.1 KiB
Markdown
29 lines
1.1 KiB
Markdown
# wakaziteka nyara kambi
|
|
|
|
Hii inarejea kuchukua vitu kutoka jeshi lililoshindwa.
|
|
|
|
# Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Hivyo watu waliuza kipimo kimoja cha unga mzuri kwa shekeli moja na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja"
|
|
|
|
# kipimo kimoja cha unga mzuri ... vipimo viwili vya shayiri
|
|
|
|
Hapa neno "kipimo" linatafsiri neno "sea," ambayo ni moja ya kipimo kikavu sawa na kama lita 7. "lita 7 za unga mzuri ... lita 14 za shayiri"
|
|
|
|
# shekeli
|
|
|
|
Shekeli uzito mmoja sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au "fedha moja ya sarafu"
|
|
|
|
# kama neno la Yahwe lilivyokuwa amesema
|
|
|
|
Hapa "neno" limuwakilisha Yahwe. "kama Yahwe alivyokuwa amesema"
|
|
|
|
# nahodha ambaye mkono wake ulikuwa umejifunza
|
|
|
|
Nahodha wa daraja la juu aliyekuwa msaidizi wa mfalme anazungumziwa kana kwamba alikuwa mtu ambaye mfalme amejifunza mkono wake.
|
|
|
|
# kumkanyaga chini
|
|
|
|
Kundi la watu lilikuwa katika kukurupuka kupata chakula katika kambi waligonga juu ya mtu na kumkanyaga hati kufa.
|
|
|