forked from WA-Catalog/sw_tn
482 B
482 B
sitakuwa na hatia juu ya Wafilisti wakati nikiwaumiza
Samsoni anafikiri kuwa kwa sababu Wafilisti wamemkosea hivyo hatakuwa na hatia akiwavamia.
Mbweha mia tatu
"mbweha 300"
Mbweha
Mbweha ni wanayama wadogo kama mbwa wenye mikia mirefu wanaokula wanyama wadogo wadogo na ndege.
Kila jozi
Jozi ni vitu viwili. Mfano mbweha wawili au mikia miwili.
Mkia kwa mkia
"kwa mikia yao"
Taa
Ni fimbo ya mbao inayowaka na kutoa mwanga ambayo mara nyingi hutumika usiku.