forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
482 B
Markdown
25 lines
482 B
Markdown
|
# sitakuwa na hatia juu ya Wafilisti wakati nikiwaumiza
|
||
|
|
||
|
Samsoni anafikiri kuwa kwa sababu Wafilisti wamemkosea hivyo hatakuwa na hatia akiwavamia.
|
||
|
|
||
|
# Mbweha mia tatu
|
||
|
|
||
|
"mbweha 300"
|
||
|
|
||
|
# Mbweha
|
||
|
|
||
|
Mbweha ni wanayama wadogo kama mbwa wenye mikia mirefu wanaokula wanyama wadogo wadogo na ndege.
|
||
|
|
||
|
# Kila jozi
|
||
|
|
||
|
Jozi ni vitu viwili. Mfano mbweha wawili au mikia miwili.
|
||
|
|
||
|
# Mkia kwa mkia
|
||
|
|
||
|
"kwa mikia yao"
|
||
|
|
||
|
# Taa
|
||
|
|
||
|
Ni fimbo ya mbao inayowaka na kutoa mwanga ambayo mara nyingi hutumika usiku.
|
||
|
|