forked from WA-Catalog/sw_tn
419 B
419 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.
Nitatampanda mwenyewe katika nchi
Mungu atawaweka watu wake salama katika nchi yao tena. "Atawajali watu wa Israeli kama vile mkulima anavyopanda mazao yake na kujali"
Lo Ruhama
Jina hili lina maana ya "hakuna huruma."
Lo Ami
Hii ina maana ya "sio watu wangu."
Ami Ata
Jina hili lina maana ya "wewe ni mtu wangu."