forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
535 B
Markdown
29 lines
535 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii ndyo mwishowa hadithi ya Lidia
|
|
|
|
# Mwanamke mmoja aitwaye Lidia
|
|
|
|
"Kulikuwa na Mwanamke aitwaye Lidia"
|
|
|
|
# muuzaji wa zambarau
|
|
|
|
"Mfanya biashara aliyeuza nguo za zambarau"
|
|
|
|
# kumuabudu Mungu
|
|
|
|
Mwenye kumuabudu Mungu ni Mataifa ambaye hutoa sifa kwa Mungu na kumfuata Yeye, lakini hafuati sheria zote za Kiyahudi.
|
|
|
|
# alitusikiliza
|
|
|
|
"Yeye alitusikiliza"
|
|
|
|
# mambo yaliyozungumzwa na Paulo
|
|
|
|
"Mambo ambayo paulo aliyasema "
|
|
|
|
# Baada ya kubatizwa yeye na nyumba yake
|
|
|
|
"walipo mbatiza Lidia na watu wa nyumbani mwake"
|
|
|