forked from WA-Catalog/sw_tn
401 B
401 B
wakati midomo yangu inapofunguka
Midomo inamaanisha kinywa cha mtu anayeongea " wakati nipofumbua mdomo wangu kuongea"
adili
"sawa" au "haki"
kinywa changu hunena
" mimi ninasema"
kilicho cha kweli
"kile ambacho watu wanapaswa kuamini"
uovu ni chukizo katika midomo yangu
"uovu ni chukizo kwangu" au "kusema vitu viovu ingekuwa ni chukizo kwangu"
uovu
inamaanisha maneno maovu