forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
401 B
Markdown
25 lines
401 B
Markdown
|
# wakati midomo yangu inapofunguka
|
||
|
|
||
|
Midomo inamaanisha kinywa cha mtu anayeongea " wakati nipofumbua mdomo wangu kuongea"
|
||
|
|
||
|
# adili
|
||
|
|
||
|
"sawa" au "haki"
|
||
|
|
||
|
# kinywa changu hunena
|
||
|
|
||
|
" mimi ninasema"
|
||
|
|
||
|
# kilicho cha kweli
|
||
|
|
||
|
"kile ambacho watu wanapaswa kuamini"
|
||
|
|
||
|
# uovu ni chukizo katika midomo yangu
|
||
|
|
||
|
"uovu ni chukizo kwangu" au "kusema vitu viovu ingekuwa ni chukizo kwangu"
|
||
|
|
||
|
# uovu
|
||
|
|
||
|
inamaanisha maneno maovu
|
||
|
|