forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
521 B
Markdown
25 lines
521 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza.
|
|
|
|
# Kiburi cha Israeli kinawashuhudia
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba tabia yao ya kiburi inaonesha kwamba wana makosa ya kutomtii Bwana.
|
|
|
|
# wala hawakumtafuta
|
|
|
|
Israeli waliacha kumtafuta Bwana.
|
|
|
|
# licha ya hayo yote
|
|
|
|
Hapa "hayo" inamaanisha kitendo cha Mungu kuwaruhusu wageni wawashinde na kuwafanya dhaifu.
|
|
|
|
# Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara
|
|
|
|
Njiwa wanadhaniwa kuwa ni ndege wajinga.
|
|
|
|
# Misri ... Ashuru
|
|
|
|
Haya ni mataifa yenye nguvu ambayo Israeli wangeomba msaada.
|
|
|