forked from WA-Catalog/sw_tn
521 B
521 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia
Hii inamaanisha kwamba tabia yao ya kiburi inaonesha kwamba wana makosa ya kutomtii Bwana.
wala hawakumtafuta
Israeli waliacha kumtafuta Bwana.
licha ya hayo yote
Hapa "hayo" inamaanisha kitendo cha Mungu kuwaruhusu wageni wawashinde na kuwafanya dhaifu.
Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara
Njiwa wanadhaniwa kuwa ni ndege wajinga.
Misri ... Ashuru
Haya ni mataifa yenye nguvu ambayo Israeli wangeomba msaada.