forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
739 B
Markdown
21 lines
739 B
Markdown
# Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu
|
|
|
|
Malaika anaizungumzia Babeli kuangamizwa kama vile imeanguka. "Babeli kuu imeangamizwa"
|
|
|
|
# Babebi kuu
|
|
|
|
"Babeli, ule mji mkuu" au "mji muhimu wa Babeli." Huu unawezekana kuwa ulikuwa ni alama ya mji wa Rumi ambao ulikuwa mkubwa, tajiri na wenye dhambi.
|
|
|
|
# uliwanywesha
|
|
|
|
Babeli inazungumziwa kana kwamba ni mtu badala ya mji uliojaa watu.
|
|
|
|
# kunywa divai ya tamaa zake mbaya
|
|
|
|
hii ni alama ya kushiriki katika tamaa zake mbaye za uasherati. "kuwa muasherati kama yeye" au "kulewa kama yeye na dhambi za uasherati"
|
|
|
|
# tamaa mbaya
|
|
|
|
Babeli inazungumziwa kama vile ni kahaba aliyesababisha watu wengine watende dhambi pamoja naye. Hii inaweza kuwa na maana mara mbili: uasherati halisi na pia kuabudu miungu.
|
|
|