forked from WA-Catalog/sw_tn
1014 B
1014 B
watafurahi kwa ajili yao na kusherekea
"watafurahi kwamba mashahidi wawili wamekufa"
hata kutumiana zawadi
Hili tendo linaonesha jinsi gani watu walivyofurahi.
kwa sababu hao manabii wawili waliwatesa wale walioishi katika nch
Hii ndio sababu watu walifurahi sana kwamba mashahidi wamekufa.
siku tatu na nusu
"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2"
pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu itawaingia
Uwezo wa pumzi unazungumziwa kama kitu kinachoweza kuingia ndani ya watu. "Mungu atasababisha mashahidi wawili kupumua tena na kuishi"
Hofu kuu itawaangukia wale wanaowaona
Hofu inazungumziwa kama kitu kinachoweza kuwaangukia watu. "Wale watakao waona wataogopa sana"
Kisha watasikia
Maana zinazowezekana ni 1) mashahidi wawili watasikia au 2) watu watasikia kile wanachoambiwa mashahidi wawili.
sauti kuu kutoka mbinguni
Neno "sauti" inammanisha ni yule anayenena. "mtu anazungumza nao kwa sauti kuu toka mbinguni na"
ikiwaambia
"ikiwaambia mashahidi wawili"