forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1014 B
Markdown
37 lines
1014 B
Markdown
|
# watafurahi kwa ajili yao na kusherekea
|
||
|
|
||
|
"watafurahi kwamba mashahidi wawili wamekufa"
|
||
|
|
||
|
# hata kutumiana zawadi
|
||
|
|
||
|
Hili tendo linaonesha jinsi gani watu walivyofurahi.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu hao manabii wawili waliwatesa wale walioishi katika nch
|
||
|
|
||
|
Hii ndio sababu watu walifurahi sana kwamba mashahidi wamekufa.
|
||
|
|
||
|
# siku tatu na nusu
|
||
|
|
||
|
"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2"
|
||
|
|
||
|
# pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu itawaingia
|
||
|
|
||
|
Uwezo wa pumzi unazungumziwa kama kitu kinachoweza kuingia ndani ya watu. "Mungu atasababisha mashahidi wawili kupumua tena na kuishi"
|
||
|
|
||
|
# Hofu kuu itawaangukia wale wanaowaona
|
||
|
|
||
|
Hofu inazungumziwa kama kitu kinachoweza kuwaangukia watu. "Wale watakao waona wataogopa sana"
|
||
|
|
||
|
# Kisha watasikia
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) mashahidi wawili watasikia au 2) watu watasikia kile wanachoambiwa mashahidi wawili.
|
||
|
|
||
|
# sauti kuu kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Neno "sauti" inammanisha ni yule anayenena. "mtu anazungumza nao kwa sauti kuu toka mbinguni na"
|
||
|
|
||
|
# ikiwaambia
|
||
|
|
||
|
"ikiwaambia mashahidi wawili"
|
||
|
|