forked from WA-Catalog/sw_tn
797 B
797 B
Malaika wote ... wenye uhai
"Malaika wote walisimama kuzunguka kiti cha enzi pamoja na wazee na wenye uhai wanne.
viumbe wenye uhai wanne
Hawa ni viumbe wanne waliotajwa katika 4:6
wakainama chini ardhini na wakaweka nyuso zao juu ya ardhi
"walisujudu"
Sifa, utukufu ... kwa Mungu wetu
"Mungu wetu anastahili sifa zote, utkufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu"
Sifa, utukufu ... shukurani, heshima ... viwe kwa Mungu wetu
Kitenzi "toa" inaweza kutumika kuonesha jinsi gani sifa, utukufu, na heshima "niza" Mungu. "Tunapaswa kumpa sifa , utukufu, shukrani, na heshima Mungu wetu"
hekima ... uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu
"Mungu wetu ana hekima yote, uwezo na nguvu"
milele na milele
Haya maneno mawili yanamaana moja na yanasisitiza kuwa sifa haitaisha.