sw_tn_fork/psa/149/008.md

13 lines
344 B
Markdown

# minyororo
Hizi zinaundwa na vyuma vizito na zinazuia kusogea kwa mfungwa.
# pingu
Kitu cha miduara miwili kilicho tengenezwa na chuma na mnyororo katikati yake zinazozuia kusogea kwa miguu au mikono ya mfungwa.
# watatekeleza hukumu iliyoandikwa
kufanya kile ambacho Yahwe alimwambia Musa kuandika ili watu wafanye kwa wale wenye hati.