forked from WA-Catalog/sw_tn
344 B
344 B
minyororo
Hizi zinaundwa na vyuma vizito na zinazuia kusogea kwa mfungwa.
pingu
Kitu cha miduara miwili kilicho tengenezwa na chuma na mnyororo katikati yake zinazozuia kusogea kwa miguu au mikono ya mfungwa.
watatekeleza hukumu iliyoandikwa
kufanya kile ambacho Yahwe alimwambia Musa kuandika ili watu wafanye kwa wale wenye hati.