forked from WA-Catalog/sw_tn
330 B
330 B
mfalme
Daudi anajizungumzia mwenyewe. "Mimi, mfalme wa Israeli"
anayeapa kwake ... atajivunia naye
Neno "kwake" inamaanisha Mungu.
lakini mdomo wa wale wanaozungumza uongo utasitishwa
Hapa "mdomo" inamwakilisha mtu mzima. "lakini Mungu atawanyamazisha waongo wote" au "lakini Mungu atawanyamazisha wale wanaodanganya"