forked from WA-Catalog/sw_tn
693 B
693 B
ngao ya wokovu wako
Hapa mwandishi anazungumzia ulinzi wa Mungu kana kwamba ni ngao. Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi "okoa." "ulinzi wako na kuniokoa"
Mkono wako wa kuume ... fadhili zako
Zote hizi ni njia zingine za kumwakilisha Mungu mwenyewe.
sehemu pana kwa ajili ya miguu yangu chini yangu
Mwandishi anazungumzia ulinzi ambao Mungu ameutoa kana kwamba ni eneo pana kwa ajili yake kusimama. "sehemu salama kwa ajili yangu"
miguu yangu haijateleza
Hapa "miguu yangu" inamaanisha mtu mwenyewe. Mwandishi anazungumzia usalama wa ulinzi wa Mungu kana kwamba alikuwa akisimama mahali ambapo hawezi kuteleza wala kuanguka. "Sijateleza" au "Niko salama"