forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
693 B
Markdown
17 lines
693 B
Markdown
|
# ngao ya wokovu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anazungumzia ulinzi wa Mungu kana kwamba ni ngao. Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi "okoa." "ulinzi wako na kuniokoa"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako wa kuume ... fadhili zako
|
||
|
|
||
|
Zote hizi ni njia zingine za kumwakilisha Mungu mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# sehemu pana kwa ajili ya miguu yangu chini yangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia ulinzi ambao Mungu ameutoa kana kwamba ni eneo pana kwa ajili yake kusimama. "sehemu salama kwa ajili yangu"
|
||
|
|
||
|
# miguu yangu haijateleza
|
||
|
|
||
|
Hapa "miguu yangu" inamaanisha mtu mwenyewe. Mwandishi anazungumzia usalama wa ulinzi wa Mungu kana kwamba alikuwa akisimama mahali ambapo hawezi kuteleza wala kuanguka. "Sijateleza" au "Niko salama"
|
||
|
|