forked from WA-Catalog/sw_tn
381 B
381 B
kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya
"mtu atafanya dhambi kwa ajili ya kupata faida kidogo"
fanya ubaya
tenda dhambi
mtu bahili
"mtu mchoyo" Huyu ni mtu ambaye hapendi kutumia mali au pesa yake kwa ushirika na wengine
hufanya haraka kutajirika
mtu bahili huwinda utajiri " ni mroho kwa ajili ya utajiri"
umaskini utakuja juu yake
"ghafula atakuwa maskini"