forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
381 B
Markdown
21 lines
381 B
Markdown
|
# kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya
|
||
|
|
||
|
"mtu atafanya dhambi kwa ajili ya kupata faida kidogo"
|
||
|
|
||
|
# fanya ubaya
|
||
|
|
||
|
tenda dhambi
|
||
|
|
||
|
# mtu bahili
|
||
|
|
||
|
"mtu mchoyo" Huyu ni mtu ambaye hapendi kutumia mali au pesa yake kwa ushirika na wengine
|
||
|
|
||
|
# hufanya haraka kutajirika
|
||
|
|
||
|
mtu bahili huwinda utajiri " ni mroho kwa ajili ya utajiri"
|
||
|
|
||
|
# umaskini utakuja juu yake
|
||
|
|
||
|
"ghafula atakuwa maskini"
|
||
|
|