forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
645 B
Markdown
17 lines
645 B
Markdown
# Marko 12 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
### Muundo na upangiliaji
|
|
|
|
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hivyo kwa mashairi katika 12:10-11,36, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
|
|
|
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
|
|
|
|
#### Hali ya Kudhania
|
|
|
|
Hali za kudhania ni hali ambazo hazikutendeka. Watu huelezea hali hizi ili waweze kujifunza kile wasikilizaji wao wanafikiri ni nzuri na mbaya au sahihi na zisizo sahihi. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-hypo)
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Mark 12:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__ |