forked from WA-Catalog/sw_tn
442 B
442 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kueleza mfano
Mmoja wao
"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu
Rafiki
Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole
Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja
Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja"
Dinari moja
"malipo ya kibarua ya siku moja"