sw_tn_fork/mat/20/13.md

21 lines
442 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kueleza mfano
# Mmoja wao
"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu
# Rafiki
Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole
# Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja
Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja"
# Dinari moja
"malipo ya kibarua ya siku moja"