forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
442 B
Markdown
21 lines
442 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kueleza mfano
|
||
|
|
||
|
# Mmoja wao
|
||
|
|
||
|
"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu
|
||
|
|
||
|
# Rafiki
|
||
|
|
||
|
Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole
|
||
|
|
||
|
# Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja
|
||
|
|
||
|
Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja"
|
||
|
|
||
|
# Dinari moja
|
||
|
|
||
|
"malipo ya kibarua ya siku moja"
|
||
|
|