forked from WA-Catalog/sw_tn
707 B
707 B
Sentensi unganishi
Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mvuvi anayetumia nyavu kubwa kukamata samaki
Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu
ufalme sikama nyavu, lakini ufalme hukokota watu wa kila aina kamavile nyavu zikokotavyo aina zote za samaki
ufalme wa mbinguni ni kama
tazama katika 13:24
ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari
kama nyavu ambayo wavuvi hutupa ndani ya bahari
iliyotupwa ndani ya bahari
"iliyotupwa baharini"
hukusanya viumbe wa kila aina
"ilikamata viumbe wa kila aina
walivuta ufukweni
"walivuta ule wavu mpaka ufukweni"
vitu vyema
"vile vizuri"
visivyo na thamani
"samaki wabaya" au "samaki wasiofaa"
vilitupwa mbali
"havikutunzwa"