forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
707 B
Markdown
41 lines
707 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mvuvi anayetumia nyavu kubwa kukamata samaki
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu
|
||
|
|
||
|
ufalme sikama nyavu, lakini ufalme hukokota watu wa kila aina kamavile nyavu zikokotavyo aina zote za samaki
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa mbinguni ni kama
|
||
|
|
||
|
tazama katika 13:24
|
||
|
|
||
|
# ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari
|
||
|
|
||
|
kama nyavu ambayo wavuvi hutupa ndani ya bahari
|
||
|
|
||
|
# iliyotupwa ndani ya bahari
|
||
|
|
||
|
"iliyotupwa baharini"
|
||
|
|
||
|
# hukusanya viumbe wa kila aina
|
||
|
|
||
|
"ilikamata viumbe wa kila aina
|
||
|
|
||
|
# walivuta ufukweni
|
||
|
|
||
|
"walivuta ule wavu mpaka ufukweni"
|
||
|
|
||
|
# vitu vyema
|
||
|
|
||
|
"vile vizuri"
|
||
|
|
||
|
# visivyo na thamani
|
||
|
|
||
|
"samaki wabaya" au "samaki wasiofaa"
|
||
|
|
||
|
# vilitupwa mbali
|
||
|
|
||
|
"havikutunzwa"
|
||
|
|